LIGNE GÉNÉALOGIQUE DES BASIMUKINDJE AVEC MENTION PARTICULIÈRE SUR LA DESCENDANCE DE BILEMBA ATANGA (1810 – 1885)
Par Mboko Simaketa Ambroise (1875 – 1975)
Assumani Bikoti (1898 – 1980)
Yakobo Mboko (1900 – 1978)
Eliya Ndeke (1905 – 1981)
Réunis à Ebanga, le 15 juin 1935 au deuil de Mzee Chenga Simaketa wachinda
Travail complété suite aux notes de:
Pasteur Ehemba Pierre (1924 -
Pasteur Bisengeta Balole
Mr. Léon Pungu Atemo (1927 – 1997)
Agronome Alinoti Oseka Osanga Mizose
Mr Lwala Masumbuko (1962 -
Dr. Sima Keita Mboko (1957 -
LA GÉNEALOGIE DES BASIMUKINDJE
1. Naluindi ndiye wa kwanza alitokeya Kama (Territoire ya Shabunda) alizaa : Muhewa –na- Ngundja
2. Muhewa –na- Ngudja akazaa : Musale Mahumba
3. Musale Mahumba (Mukindje wa Mbele) akazaa : Lwala ; Nam’Betcha (ndiyo Bashi) na Mkela ndiyo (Kalangwa) Bashikalangwa
4. Lwala akazaa : Mukindje na Asumba (ndiyo wa Rega na Wambote). Lwala alikuwa mwindaji; ndani ya kazi yake iyo alifika mpaka Tanganyika. Yeye ndiye wa kwanza kufika Tanganyika. Alirudiya porini kujulisha ndugu zake kama aliona ziwa kubwa sana la maji. Kisha akarudi tena na kwenda kuishi karibu na kiziwa icho (Tanganyika)
5. Mukindje aliowa wake tano : mke wa kwanza akazaa Kumbelwa, Musebengi na Ahongo; mke waa pili akazaa Kuluchela, Mwabi na Ahombo; mke wa tatu akazaa Masse na Mulenge; mke wa ine akazaa Bokomba, mke wa tano akazaa Asakacya ndiyo Musambya (Itombwe)
6. Musebengi akazaa Belwe na Mulumba (ndiyo Kayumba wa Lulenge)
7. Belwe akazaa Eto Mlumba; Mulinga (ndiyo Basimunene na Mangapi) na Musambya ndiyo Pelelo
8. Eto M’lumba akazaa Mulanda; Mimbo (ndiyo Ma’Ale); Musebengi (ndiyo Babocha); Ilangi na Musafiri.
9. Mulanda akazaa Kafumba na Lya’Uma
10. Kafumba akazaa Abombwa; Ebe; Bwili; Ekela na Elo’Wa
11. Bwili akazaa Ihombelo, Mbuto; Busuku; Asanda (Basimulomo); Kitungutungu na Wabitema
12. Mbuto akazaa Kakozi, Tabiongwa, Muluta na Lohongolola
13. Kakozi akazaa Bilemba Atanga na Atembo
14. Bilemba Atanga (1810 – 1885)
LES ENFANTS DE BILEMBA
Bilemba Atanga alizaliwa na kuishi pale Ebanga mlimani juu ya Mwatembo kwa leo localité Balala. Aliowa wanake saba. Kwa jumla mzee Bilemba alizaa watoto kumi na saba (17) Watoto wake wote walizaliwa pale Ebanga. Mke wake wa kwanza akuweza kuzaa. Wengine sita ni awa wafwatayo na watoto wao :
1. Nyasa alizaa, Kabezamwali na Kibunga
2. Nabihumbe alizaa watoto tisa Bihumbe (mwanamke), Kakozi N’Gombe, Etamya, Anwena, Etunda Siabwe, Isimaeta Chenga Wachinda, Lubunga Ayame, Bita Amoni Alukulu na Issi Eyola,
3. Nawa’elewa alizaa Lu’Onga
4. Bembe alizaa Mkuku Kisubi na Wahanga
5. Namwila Nawa Elenga alizaa Lulela Mukucha na Abwe
6. Namkulwa alizaa M’munga Isisango
LA DESCENDANCE DE KABEZAMWALI (premier fils de Bilemba)
LA DESCENDANCE DE KIBUNGA (deuxième de Bilemba)
LA DESCENDANCE DE KAKOZI N’GOMBE (Troisième fils de Bilemba)
Kakozi N’GOMBE aliowa wake sita. Majina ya wake na watoto ni hii ifwatayo :
1. NAMSEMBULWA : alizaa Bisengeta Ahangulo, Asukulu Eseba na M’munga Isisango (walikuwa wa mapasa)
2. NABUKUMBA : alizaa Isi’mmindje Luetcha Abwalé; Asongo Bulembo na Lumona Kulemo
3. NAISENGELO WAKONGYE alizaa Isengelo
4. Mlilwa naMtangelwa alizaa Luangila na Isibangye
5. NAMTUMANI alizaa watoto watatu majina ?????????
6. MLE’YA alizaa Nama’a
LES ENFANTS DE BISENGETA AHANGULO(mtoto wa kwanza wa Aoci NGOMBE)
Bisengeta aliowa mke moja; walizaa watoto wafwatao :
1. Alimasi
2. Bwimano
3. Mkuku Kiloko
4. Namkyungu (Fille)
5. Sango (Fille)
6. Echumbé (Fille : voir Shabani KUKUMBE)
LES ENFANTS DE ASUKULU ESEBA (mtoto wa pili wa Aoci Ngombe)
Asukulu aliowa wake watatu :
1. Nabalundi alizaa : Isibisengeta N’Gombe; Alebu Bulimwengu; Namanya; Eloke Apendeki; Mlonge na Aenge
2. Nasenda alizaa : Anwena Lupembe; Mwitunwa; Bichuka; Eangano na Atonde
3. Alebela alizaa Lumande Msehelwa; Natebwa (basielowa); na Uma Balenge
LES ENFANTS DE ISIM’MINDJE LWETCHA ABWALÉ (mtoto wa tatu wa Aoci NGOMBE)
Isim’Mindje aliowa wake sita :
1. Bibi wa kwanza jina lake M’Mindje alizaa : Msema na Bendela
2. Namwali Wakyungicha Bisasi (wa basiluinda) alizaa Mwin’Ibangye Makanga; na dada zake : Nangyila (voir Mambwe mlima); Fatuma (voir Balala); Mwasité (voir Yuma Mlele Lubumba) na Mwayuma Bitungwa
3. Nalu’Ubu alizaa : Msambya; Amanyola (tué par un hipopotamme); Assumani Bahome Bikoti; Bola A’Embe (Fille) na Yohali Bahina (Fille)
4. Nsundo’elo alizaa Amissi Elias Undu.Elo, Sadi M’mu’Ya; Asani Mlisho na dada yao Fatuma Esimonwe
5. Nalusamba alizaa : Yuma Ambela
6. Asaku M’minda alizaa Kanda Nyota (voir Assani Abonga) kisha alipyanwa na Batu anzuluni Mtuta
LES ENFANTS DE ASONGO BULEMBO (mtoto wa ine wa A’oci NGOMBE)
Asongo Bulembo aliowa wake wane :
Mke wa kwanza alizaa Emeli Msosi na A’oci
Bisochi Abwe (mke wa pili) alizaa ??????
Sala Nachala (mke wa tatu) alizaa Heli Etabo Joseph na Mwayuma Chala (Fille)
Wabalima (mke wa ine) alizaa Andala M’mambilwa
LES ENFANTS DE LUMONA KULEMO (mtoto wa tano wa Aoci NGOMBE)
LUMONA Kulemo alikuwa na wabibi munane :
1. Na Etabo Elizabethi (mke wa kwanza) alizaa Bilembela Msemakweli
2. Nalukaba wa balala (mke wa pili) alizaa Songolo Mwasi Luetcha
3. Wabalema Msésengya (mke wa tatu) alizaa Mauridi Asende na dada yake Nyota wa Anga (voir Shabani Médard)
4. Baséka (mke wa ine) alizaa Ehocha Zubédi, Echibangyela Mashindano (Zoro) na dada yao Suzanne (voir Venant Koke à Goma)
5. Nam’meya (mke wa tano) alizaa Arajabu Kandinda na dada zake Sifa Bisochi na Eto
6. Mke wa sita (Jina???) alizaa Rashidi Bumbila
7. Mwayuma Wahilala (mke wa saba) alizaa Mibendekelo na dada yake Mawazo
8. Sahina wa M’tenge (mke wa munane) alizaa Atunga Walingamina Salvado; Baholelwa na Ilelo Séraphin. NB Sahina alipyanwa na Yuma Kambela na akazaa Mateso, Nabukumba na Mwavita
LES ENFANTS DE LUANGILA (mtoto wa sita wa Aoci NGOMBE)
Luangila aliowa wake watatu :
1. Mke wa kwanza (Jina ???) alizaa Maria
2. Namtambala (mke wa pili) alizaa Mtambala Mahongo; Pierre Ehemba , Asende Josué na wa dada zao watatu Namlebinge, Ebinda na ????
3. Salima (mke wa tatu) alizaa M’muya Salehe; Eliya; Bahelanya; Apungu; Thérèse na Mawazo
LA DESCENDANCE DE ETAMYA (Quatrième fils de Bilemba)
Etamya Isi’Asende aliowa wabibi wawili :
1. NA’ASENDE : alizaa Isibatange na Aluta
2. Mke wa pili (????) : alizaa ??????
LA DESCENDANCE DE ANWENA LUALA ISIM’MEBI (Cinquième fils de Bilemba)
Anwena aliowa wake wawili :
1. Nam’Mebi alizaa M’mebi
2. Nalubulula alizaa Abalé; Alobé M’munga; Asukulu; Lingwangwa; Fataki na Baruani Mcibo (Asuangyala)
Les enfants de Abalé
Abalé alikuwa na mke moja aliye zaa : Kiza Emile Gartianno; Myayuma Ongwa (fille) Eto (Fille) na Obedi Shabani
Les enfants de Baruani Mcibo (Asuangyala)
Baruani Mcibo aliowa mke moja (Maria Mlébinge) na wakazaa : Henri Bernard Kasindi Eca; Elubi Faizi; Tuili Rashidi; Zakaria Faliala; Eliza Nyasinde; Yoali Anwema; Laeli Nam’mebi na Luala Simon
LA DESCENDANCE DE ETUNDA SIABWE (Sixième fils de Bilemba)
Etunda aliowa wake watatu :
1. NA’ABWE alizaa M’Mbangu Abwe
2. NAONGELA alizaa Nyange Lisase (François) na Bwasaa Lucibéla
3. NALUNYONYI alizaa Itété (Simba Ya Mungu)
Les enfants de Nyange Lisase (François)
Nyange Lisase aliowa wake wane :
1. Catherine Balibanga wa Balala (mke wa kwanza) alizaa Amissi Mbalako Pierre na Yaya Elizabeth
2. Mtambala (mke wa pili) alizaa Nyota M’manya (voir Aboké); M’mbondja Xavier na Heradi Makandja
3. Mwayuma wa Basiluinda (mke wa tatu) alizaa : Musafiri Lambert; Safi Frazia; Bilelo Marceline; Bahonewa Bushiri; Emmanuel na Balibanga Catherine
4. Hasha Adela (mke wa ine)alizaa Fitina; Mangaza; Mbe’umo na Ningejua
Les enfants de Bwasaa Lucibela
Bwasaa Lucibela aliowa wake ine :
1. Nahiche M’moni (mke wa kwanza) alizaa Mawazo (voir Babwali)
2. Ebinda wa Balinga (mke wa pili) alizaa Etunda Shabani, Abwe Michel, Kibengo Marcel na Nyasinde Marjorite
3. Yohali wa M’pulé (mke wa tatu) alizaa Asende Feza; Chandja Tatu na Mwandja Etungano
4. Anjelani Sango wa basimombo (mke wa ine) alizaa Morisi Matata; Ebanga Musa Faustin; Henri Spaak na Thérèse Kyala
Les enfants de Itété simba ya Mungu
Simba ya Mungu aliowa Ciline na wakazaa Dieu-donné Mutambala
LA DESCENDANCE DE ISIMAETA CHENGA WACHINDA (Septième fils de Bilemba)
Isimaeta (1860 - 1935) aliowa wake sita :
1. NAMA’ETA alizaa Maeta (mwanamke aliolewa Mwatembo); Mboko na Ndeke
2. IHONDA alizaa Isi’asende Luo’ci, Selemani Afumba Mluta na Anjuluni Mtuta
3. BILIBWA alizaa Nyasinde Ramazani Aroni, Asele (fille) na Mama Nandongo
4. NA’ANGYA alizaa Mzaliwa Mtambala, Mulasi Tamona na Binwa Anjela
5. NAHILUNGU alizaa Katemo Ilungu, Bulaimu Ekyamba na Fataki Misa’U Abwe
6. MWALI LUBUNGYO alizaa Alinoti Abélé, Mwasité na Msosi Salehe Komokomo
NB NA’ANGYA NA MWALI NI WA DADA (MKUBWA NA MDOGO)
Les enfants de Mboko Isimaeta Ambroise
Mboko aliowa wake wane;
1. Eca wa Basi’Elowa (mke wa kwanza) alizaa : Yakobo; Nabucimbelo (fille voir Basiluinda) na Anjelani
2. Kilemba wa Babwali (mke wa pili) alizaa; Kaptive; Mashindano; Mateso na Zika (fille)
3. Mangaza (mke wa tatu) alizaa : Etongo
4. Bukiwa (mke wa ine) alifiwa na watoto wote
Les enfants de Ndeke
Ndeke aliowa wake sita :
1. Nakwama (mke wa kwanza) alizaa Eliya na Zabibu (voir Abandji)
2. Mlonge (Mke wa pili) alizaa : Salima (fille voir Pierre M’ngwande);Pendeza na Issa Charles (commissaire de District)
3. Namlea (mke wa tatu) alizaa ?????
4. Nakyenga (mke wa ine) alizaa Usseni M’munga; Sango (fille voir Ekwena); Mokoti na Marguerite
5. Fatuma wa Basimombo( mke wa tano )alizaa Nasuma (fille)
6. Mwasiti wa Basi’ almba (mke wa sita) : M’senga Yuma René na Mwavita
Les enfants de Isi’Asende Lu’oci
Isi Asende alikuwa na wake wawili :
1. Mke wa kwanza alizaa Yoana Sumaili
2. Mwalibola M’mbondo (mke wa pili) alizaa Falesi M’Muya; Bita Abedi; Elulu Henri Abandelwa Nehemiya na Nyasinde (fille)
Les enfants de Selemani Afumba Mluta
Mluta aliowa wake wawili :
1. M’Mocha (mke wa kwanza) alizaa Heli Mboko; Usseni Batende na Msosi
2. Mke wa pili (Jina???) watoto????
Les enfants de Anjuluni Mtuta (Batu)
Batu aliowa wake wawili :
1. Asalu M’minda (kupyana kwa Abwale : mke wa kwanza) alizaa : Nyota Kanda; Marguerite; Mayani Lukumbuka Jean Marie na Balomona
2. Salima wa Chalo (mke wa pili) alizaa : Faila; Mwashamba Evelyne; Asende Alphonse, Leya; Riziki na Mwayuma Namtabi
Les enfants de Nyasinde Ramazani Aroni
Aliowa wake wawili;
1. Mwalibola Mwimombo (mke wa kwanza) alizaa Assuma na Gérard
2. Tamasha wa Basim’kumbilwa (mke wa pili) alizaa Labani; Laeli Bilebwa na Sango Salomé
Les enfants de Mzaliwa Mtambala
Mzaliwa aliowa wake wawili :
1. Wa’esongo (mke wa kwanza) alizaa : Heri Hussiya na Mala Tabu
2. Zaina wa Assongo wa Mipanga alizaa watoto wawili na wote walifariki
Les enfants de Atemo Ilungu(1895 - 1972)
Atemo aliowa wake wawili :
1. Suzanne Mlonge (wa balala : mke wa kwanza) alizaa Sango(1920 – 1923) ; Salima (Fille), (1925 –1995) Léon Pungu( 1927 – 1997); Robert Mtambala (1930 - 1999); Safi (1932 - 1980); Zachée; Ditho (1948 – 1992) na Thella (1950 - (Doyen)
2. Anjelani (mke wa pili) alizaa : Munganga na Eliza (fille)
Les enfants de Bulaimu Ekyamba
Bulaimu aliowa wake wawili :
1. Mwali Lubungyo (,mke wa kwanza kupyana kwa mzee Simaketa) alizaa Sumbya na Mawazo
2. Adelaide (mke wa pili) alizaa Isaac
Les enfants de Fataki Abwe Misa’U
Fataki aliowa wake wawili :
1. Mke wa kwanza (jina???) alizaa Elisée Msosi
2. Mariamu wa Mkasa wa Basiluinda alizaa Esaie Mwanué; Kesiya (Fille); Samuel; Louise; Denise; Nailungu Lucie; riziki Abwe; Isimaeta Fataki na Jean Pierre Fataki
Les enfants de Salehe Msosi Komokomo
LA DESCENDANCE DE LUBUNGA AYAME (Huitième fils de Bilemba)
Ayame aliowa wake tatu :
1. NALUKANGAMYE alizaa Lukangekya (fille) na Ndale Mwile’Wa
2. NANDEBA alizaa Epanga Mwenebatu
3. ABECHA alizaa Ilelo Mpendamakyé na Epaka Bulaimu
LA DESCENDANCE DE BITA AMONI ALUKULU (Neuvième fils de Bilemba)
Bita aliowa wake watatu :
1. Mke wa kwanza alizaa Mtémi na M’tuu
2. Nguyku (mke wa pili) alizaa Amisi M’lelema
3. Namlelwa (mke wa tatu) alizaa Selemani Mlelwa
LA DESCENDANCE DE ISI’ EYOLA (Dixième fils de Bilemba)
Isi’Eyola aliowa mke mmoja aliyezaa Pango Lulinda na Esasu wa Mite’O.
LA DESCENDANCE DE LU’ONGA (Onzième fils de Bilemba)
Luonga aliowa mke moja na akazaa : Ngela; Chwelebengi; Msebengi; Muzinga; Inocé; Wasomba Salima (fille) na Nawale’wa Mwayuma (fille)
LA DESCENDANCE DE MKUKU KISUBI (Douzième fils de Bilemba)
Mkuku aliowa wake kumi na wawili :
1. BISOCHI alizaa Asende Isisaelo, Mtambala (Mlakatumba), Atembo, Nabwangyo (fille) na Esasu
2. WACHUNGELWA alizaa Mwenebatu Mwemeli (voir Heri Faustin), Elengabo Ulimwengu (voir Amosi Elengabo)
3. MKE WA TATU (JINA ???) alizaa Ebanga
4. NAMWISHIMBU’WA alizaa Lubebembela, Isimiumbé (voir Omari Mpole) na Bilenge Albert (voir Rashidi Mloba)
5. MKE WA TANO (JINA ???) alizaa Tiba (fille); Yuma Eheté (Pierrot wa Miuno Uno), Assumani Mungulilwa
6. BYABULA alizaa Swedi Mkanduélwa, Nayala (fille), Ngabohemo
7. MKE WA SABA (JINA) alizaa Abdallah na Songolo Lubicingo
8. NACINDE alizaa Mlonge (fille)
9. NABATA’ELWA alizaa Maria Babucwa (fille); Sungula; Safarani (fille) na Sakina (fille)
10. ESENGYA alizaa mtoto moja (jina ???)
11. APENDEKI alizaa Hemedi Chabenganwa
12. MWAYUMA alizaa Wachaahulu (fille)
Les enfants de Esasu
LA DESCENDANCE DE LULELA MUKUCHA (Treizième fils de Bilemba)
Lulela aliowa wake watatu :
1. Nabiletambe alizaa mtoto moja Lu’ekya Abanga Ebengo
2. Na’etunda alizaa Etunda A’oci na M’mewa Lamazani
3. Namwitango alizaa Esubi na wa dada zake wa tatu : Ndamonwa (voir Kiyaya), Nyassa Msokololwa (voir Basiluinda) na Ebubu
Les enfants de Lu’ekya Abanga Ebengo
Lu’ekya aliowa wake wawili :
1. Mke wa kwanza alizaa M’Mbangula na dada yake Maria
2. Mke wapili alizaa Amissi Akekya (mu Belge) na dada yake Apendeki Biletambe (voir Balala)
Les enfants de Etunda A’oci
Etunda A’oci aliowa wake munane :
1. Nyange wa Mlundiwa (mke wa kwanza) alizaa Feruzi Mtambala; M’lasi (fille); Nikye; Yuma Sango; Laliya Naikakyo na Walengamina
2. Nabuholo wa ‘emba (mke wa pili) alizaa Mlonge; Salima wa Binge; na Echa
3. Mke wa tatu (jina ????) alizaa Rose Esangya
4. Bilocho (mke wa ine) alizaa Lukangakye Fataki, Mahangya Lisase; Mwayuma wa Bashinda (voir Ba kasai); Abwe Mlondela Sumaili (Roger); Yala Victorine na Bahangulé Machozi (voir Abondoki
5. Mwaliasha Dorothée w’Atumbulu (mke wa tano) alizaa Helena Kwanyema; Bisochi Honorine (mama Michel, Bavira); Mauwa Béatrice (voir Ngongo Babila), Etungano Paul (agronome) na M’kuku Afuka w’Etunda
6. Fatuma Sipola wa Ekyoci (mke wa sita) alizaa Issa M’mekelwa (Petition); Sadiki Echa; M’Mukya Mkulumbuka; Amunya Kaitunza; Suzanna (Basimwenda na Mateso Jean Pierre
7. Maria wa Bitawa (mke wa saba) alizaa Nalubila Marguerite, Atende Charles; Nyembwe Marko na Babucwa Yohanna.
8. Zaina wanamauka (Bafulelelo) (mke wa munane) alizaa Maonyesho Lulela; Faila; Munganga; Albert; François; Adela Furaha; Furaha Hobe na Yamba
Les enfants de M’mewa Lamazani
M’mewa Lamazani aliowa wake tatu;
1. Lubunge wa Mauba (mke wa kwanza) alizaa Assumani Ehibilo; Nyota Chala; Eliza Itété na Bilemba Jean
2. Anjelani (Avion; mke wa pili) alizaa Kibengo Gaston; Kaloko Jules Ramazani; Patrice Talwa’awe (talusiwe); Chukuza na Catherine
3. Endani wa Kakoko (mke wa tatu) alizaa Bakeni; Wamama na Tito
Les enfants de Esubi
Esubi alifariki ankuwa na kimo cha kuzaa; alikuwa kijana akuweza kuowa.
LA DESCENDANCE DE ABWE ISHI’EMBELO (Quatorzième fils de Bilemba)
Abwe aliowa wake wawili :
1. Mwali alizaa Ehambilo Isumbilo na Lukangakye Sungula
2. Sango Nabalenganya alizaa Bahombwa Swedi (ehulula) baba yake na Sumaili Balu’u na Ekyamba Dunia
LA DESCENDANCE DE M’MUNGA ISISANGO (fils de Bilemba)
M’MUNGA aliowa mke mmoja aliye zaa : Ule’Umwene (mort attaqué par un crocodile), Echa’tungwa na Isingyala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment